TANGAZO KWA DIPLOMA WOTE NA CHETI.

on Thursday, December 1, 2016


habari yako ndugu  
mda wa kusajili masomo saris umeongezwa  hadi kesho tafadhali hakikisha kama ujamaloza ada au malipo ya bima umalize maana kulipa bima ni lazima  bila ya hiyo uwezi kupick masomo tafadhali tuwaataarifu na marafiki zetu mapema iliwaweze kukamilisha hili zoezi  kama huna invoice ya bima au repeat module nenda accounts ili ukachukue  invoice na ukishalipia tu ingia kwenye account yako ya saris uweze kupick    masomo yako ya semester ya kwanza tu
tafadhali zingatia hilo

Claud Ndikwege.
Waziri wa Elimu CBE
2016/2017.

0 comments:

Post a Comment