KUONGEZWA KWA MUDA WA USAJILI

on Wednesday, December 14, 2016

Wanafunzi wote wa cheti, diploma na (Reapeat Module) 2016/2017

Muda wa kusajili masomo umeongezwa mpaka tarehe 16 /12/2016. Hivyo mnaombwa muweze kusajili masomo yenu kabla ya wakati huo kufika tamati na kwa mwanafunzi yeyote ambaye amemaliza ada na amelipia bima lakini hakuweza kufanya mitihani iliyoanza tarehe 13/12/2016 hadi sasa ina mpasa afanye taratibu zinazotakiwa kwa ajili ya kuhairisha mitiani na kuja kuifanya wakati wa suplimentary.

kwa ugumu wowote tafadhali fika Ofisi  za  Cobeso  ili uulize na upate maelekezo zaidi ni vyema ukafatilia mapema ili kuepuka usumbufu kwa wakati huu wa mitihani

Ahsante,

Claud A. Ndikwege
Waziri wa Elimu,

0 comments:

Post a Comment