TANGAZO MUHIMU
KUONGEZWA KWA MUDA WA USAJILI NA KUCHAGUA MASOMO SARIS
HADI TAREHE 8 /12/2016 WANAFUNZI WA DIPLOMA NA CHETI
Napenda kuchukua fursa
hii kuwataarifu wanafunzi wote ombi letu la kuomba kwa menejment juu ya mda
kuongezwa hususani kwa diploma na certificate , Mda wa usajili umeongezwa kwa ajili ya usajili ili wanafunzi
waweze kufanya usajili huo na aweze kufanya mitihani na ni lazima
alipe ada yote ya semester ya kwanza pamoja na Bima ya Afya
- Kwa yeyote ambaye hana namba ya invoice basi aende kwa watu wa accounts akapewe invoce namba na aweze kulipia Bima yake maana ni lazima
- Kwa Mwanafunzi mwenye Bima Kutoka makampuni mengine basin aye awasilishe uhalali wa bima zao kwamba zipo active kwa kupeleka nakala ya copy ya bima yako yenye uthibitisho kutoka kwa kampuni ya bima husika.
- Ili uweze kufanya mtihani na kuona course work lazima uwe umesajiliwa na umesajili masomo yako yote ya semester ya kwanza( Module Registration ) bila ya kusahau kufanya Course Evaluation katika kila somo ambalo litakua uploaded na Mwalimu Husika.
- Kwa Wanafunzi ambao wanarudia masomo au kuyabeba (Carryforwad and Repeat Module ) wanapaswa pia kusajili masomo yao wanayo yarudia kwa semester hii ya kwanza na wa repeat Module lazima ulipie somo lako kwa kutumia invoice number na usajili katika akaunt yako ya saris pamoja na bima
- Kama ulisahau kusajili masomo yako au kupick wakati wako ni sasa inabidi ufanye taratibu hizo.
- Hakikisha Unatatua matatizo yako yote ambayo yanahusiana na saris usije ukasema ukujua maana hakitakuwa na muda wa ziada tena.
ANGALIZO
Hakutakuwa na Muda mwingine utakao ongezwa wa ziada kama
hutokamilisha hayo basi itakupaswa ufanye taratibu zingine za kuhairisha mwaka
wa masomo hadi mwakani tena
Tafadhali Ndugu wanafunzi nawaomba muweze kuzingatia mambo
Muhimu Ikiwa ni Pamoja na
Ø
Kupita kwenye mbao za Matangazo kila mara na
kutembelea kwenye blogu ya wizara ya elimu (cbeeducation.blogspot.com)
Ø
Kuzingatia Sheria na kanuni za Mitihani
Ø
Pia tuwasilkilize Viongozi wetu wa Madarasa na Viongozi Wengine punde watuleteapo taarifa Zenye umuhimu ambazo wanatupatia
madarasani na kuzitekeleza Mapema kabla ya hazijatuathiri
Tafadhali taarifa hii ya Muhimu Mjulishe na mwenzako kwa
haraka sana
KUPITA KWENYE MBAO ZA
MATANGAZO NI MUHIMU SANA
Claud A Ndikwege
Waziri wa Elimu na Masomo ya Jioni
Nakala:
Quality
Assurance
Dean of Students
President
Office
0 comments:
Post a Comment