Tarehe ya kuzaliwa 13 Aprili 1922
Mahali pa kuzaliwa Butiama
Tarehe ya kifo 14 Oktoba 1999
Rais wa Tanzania
Alingia ofisini 1964
Aliondoka ofisini 1985
Alitanguliwa na (alikuwa rais wa kwanza)
Alifuatwa na Ali Hassan Mwinyi
Dini Mkristo Mkatoliki
Elimu yake Chuo Kikuu cha Edinburgh - Uskoti Digrii
anazoshika M.A. ya historia na uchumi
Kazi mwalimu, mwanasiasa Mengine Nyerere alikuwa
mwenyekiti wa chama cha TANU na baadaye wa CCM.
Mara nyingi aliitwa "Mwalimu Nyerere".
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa rais wa
kwanza wa Tanzania. Alizaliwa Butiama, mkoani Mara
pembezoni mwa Ziwa Nyanza tarehe 13 Aprili, 1922.
Alifariki dunia 14 Oktoba, 1999. Aliiongoza Tanzania toka
mwaka 1961 hadi mwaka 1985.
Yeye ni mwasisi wa itikadi ya ujamaa na kujitegemea.
Kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mwalimu. Kazi
hii ndiyo ilimpatia jina ambalo lilimkaa maisha yake yote la
"Mwalimu." Mwalimu Nyerere ni kati ya viongozi wachache
wa Afrika ambao wameacha madaraka kwa hiyari baada
ya kutawala kwa muda mrefu. Alipostaafu urais mwaka
1985 alirudi kijijini kwake Butiama ambako aliendesha
shughuli za kilimo. Aliendelea kuwa na athari kubwa
katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake.
Maisha Ya Mwalimu
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922
( katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa
Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). Alikuwa
mojawapo kati watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa
kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga
mifugo ya babake; katika umri wa miaka 12 aliingia shule
akitembea kilomita 30 hadi Musoma. Baada ya kumaliza
shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari
Wakatoliki huko Tabora. Katika umri wa miaka 20
alibatizwa akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa
maisha yake.
Mapadre wakaona akili yake wakamsaidia kusoma ualimu
huko Makerere, Kampala, Uganda kuanzia 1943 - 1945.
Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi
Watanganyika pia amejihusisha na tawi la Tanganyika
African Association (TAA). Baada ya kumaliza masomo ya
ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya St.Mary´s.
Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda kusoma
kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti /Uingereza
akasoma M.A. ya historia na uchumi(alikuwa mtanzania
wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na
mtanzania wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya
Tanzania).
Aliporejea Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere
alifundisha Historia, Kingereza na Kiswahili katika shule ya
St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam. Mwaka 1953
alichaguliwa kuwa raisi wa chama cha Tanganyika African
Association (TAA), chama ambacho alikisaidia kukijenga
alipokuwa mwanafunzi katika chuo kikuu cha Makerere.
Mwaka 1954 alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika
chama cha Tanganyika African National Union (TANU)
ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko TAA. Ndani ya
mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha
siasa kinachoongoza Tanganyika.
Uwezo wa mwl. Nyerere uliwashitua uongozi wa kikoloni
na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi
ya ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa
mwalimu kwa kuchagua na mwanasiasa kwa bahati
mbaya. Alijiuzuru ualimu na kuzunguka nchini Tanganyika
kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta
muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza
kwa niaba ya TANU katika Trusteeship council na Fourth
committee ya Umoja wa Mataifa (UN) huko New York.
Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu
ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila
umwagaji wa damu. Ushirikiano mzuri aliouonyesha
aliyekuwa gavana wa wakati huo bwana Richard Turnbull
ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere
aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na
kuchaguliwa kuwa waziri mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961
Tanganyika ilipata uhuru wake na tarehe 9/12/1961
Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika
huru na mwaka mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa
kwanza wa jamhuri ya Tanganyika. Nyerere alikuwa kiungo
muhimu katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar
kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar
mwaka 1964 yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar
Jamshid bin Abdullah.
Sifa zake
Bado anakumbukwa na watanzania hasa wa hali ya chini
kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.Pia
ataendelea kukumbukwa na waafrika kote barani hasa kwa
mchango wake mkubwa wakati wa harakati za kupigania
uhuru katika nchi mbali mbali barani Afrika.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa
kutojilimbikizia mali pamoja na kutawala kwa miaka zaidi
ya 24.
Mwishoni mwa maisha yake Nyerere aliishi kama mkulima
wa kawaida kijijini kwake Butiama. Alipatwa na kansa ya
damu (leukemia) na kufariki Uingereza wakati wa kutibiwa
katika mji wa London tarehe 14 Oktoba, 1999. Alizikwa
mahali pa kuzaliwa kwake, kijiji cha Butiama.
Machapisho ya mwl.Julius K. Nyerere.
Freedom and Socialism.Mkusanyiko wa maandiko na
hotuba, 1965-1967 (1968)
Freedom & Development, Uhuru Na Maendeleo (1974)
Ujamaa - Essays on Socialism' (1977)
Crusade for Liberation (1979)
Mahali pa kuzaliwa Butiama
Tarehe ya kifo 14 Oktoba 1999
Rais wa Tanzania
Alingia ofisini 1964
Aliondoka ofisini 1985
Alitanguliwa na (alikuwa rais wa kwanza)
Alifuatwa na Ali Hassan Mwinyi
Dini Mkristo Mkatoliki
Elimu yake Chuo Kikuu cha Edinburgh - Uskoti Digrii
anazoshika M.A. ya historia na uchumi
Kazi mwalimu, mwanasiasa Mengine Nyerere alikuwa
mwenyekiti wa chama cha TANU na baadaye wa CCM.
Mara nyingi aliitwa "Mwalimu Nyerere".
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa rais wa
kwanza wa Tanzania. Alizaliwa Butiama, mkoani Mara
pembezoni mwa Ziwa Nyanza tarehe 13 Aprili, 1922.
Alifariki dunia 14 Oktoba, 1999. Aliiongoza Tanzania toka
mwaka 1961 hadi mwaka 1985.
Yeye ni mwasisi wa itikadi ya ujamaa na kujitegemea.
Kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa ni mwalimu. Kazi
hii ndiyo ilimpatia jina ambalo lilimkaa maisha yake yote la
"Mwalimu." Mwalimu Nyerere ni kati ya viongozi wachache
wa Afrika ambao wameacha madaraka kwa hiyari baada
ya kutawala kwa muda mrefu. Alipostaafu urais mwaka
1985 alirudi kijijini kwake Butiama ambako aliendesha
shughuli za kilimo. Aliendelea kuwa na athari kubwa
katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake.
Maisha Ya Mwalimu
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka 1922
( katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa wa
Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). Alikuwa
mojawapo kati watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa
kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga
mifugo ya babake; katika umri wa miaka 12 aliingia shule
akitembea kilomita 30 hadi Musoma. Baada ya kumaliza
shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari
Wakatoliki huko Tabora. Katika umri wa miaka 20
alibatizwa akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa
maisha yake.
Mapadre wakaona akili yake wakamsaidia kusoma ualimu
huko Makerere, Kampala, Uganda kuanzia 1943 - 1945.
Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi
Watanganyika pia amejihusisha na tawi la Tanganyika
African Association (TAA). Baada ya kumaliza masomo ya
ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya St.Mary´s.
Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda kusoma
kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti /Uingereza
akasoma M.A. ya historia na uchumi(alikuwa mtanzania
wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na
mtanzania wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya
Tanzania).
Aliporejea Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere
alifundisha Historia, Kingereza na Kiswahili katika shule ya
St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam. Mwaka 1953
alichaguliwa kuwa raisi wa chama cha Tanganyika African
Association (TAA), chama ambacho alikisaidia kukijenga
alipokuwa mwanafunzi katika chuo kikuu cha Makerere.
Mwaka 1954 alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika
chama cha Tanganyika African National Union (TANU)
ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko TAA. Ndani ya
mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha
siasa kinachoongoza Tanganyika.
Uwezo wa mwl. Nyerere uliwashitua uongozi wa kikoloni
na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi
ya ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa
mwalimu kwa kuchagua na mwanasiasa kwa bahati
mbaya. Alijiuzuru ualimu na kuzunguka nchini Tanganyika
kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta
muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza
kwa niaba ya TANU katika Trusteeship council na Fourth
committee ya Umoja wa Mataifa (UN) huko New York.
Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu
ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila
umwagaji wa damu. Ushirikiano mzuri aliouonyesha
aliyekuwa gavana wa wakati huo bwana Richard Turnbull
ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere
aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na
kuchaguliwa kuwa waziri mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961
Tanganyika ilipata uhuru wake na tarehe 9/12/1961
Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika
huru na mwaka mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa
kwanza wa jamhuri ya Tanganyika. Nyerere alikuwa kiungo
muhimu katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar
kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar
mwaka 1964 yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar
Jamshid bin Abdullah.
Sifa zake
Bado anakumbukwa na watanzania hasa wa hali ya chini
kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.Pia
ataendelea kukumbukwa na waafrika kote barani hasa kwa
mchango wake mkubwa wakati wa harakati za kupigania
uhuru katika nchi mbali mbali barani Afrika.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa
kutojilimbikizia mali pamoja na kutawala kwa miaka zaidi
ya 24.
Mwishoni mwa maisha yake Nyerere aliishi kama mkulima
wa kawaida kijijini kwake Butiama. Alipatwa na kansa ya
damu (leukemia) na kufariki Uingereza wakati wa kutibiwa
katika mji wa London tarehe 14 Oktoba, 1999. Alizikwa
mahali pa kuzaliwa kwake, kijiji cha Butiama.
Machapisho ya mwl.Julius K. Nyerere.
Freedom and Socialism.Mkusanyiko wa maandiko na
hotuba, 1965-1967 (1968)
Freedom & Development, Uhuru Na Maendeleo (1974)
Ujamaa - Essays on Socialism' (1977)
Crusade for Liberation (1979)
Tutamkumbuka sana Baba wa Taifa hili la Tanzania maana ametenda
mambo makubwa na ni hazina kwa taifa na vizazi vijazo
hivyo sisi kama watanzania tunapaswa kumuenzi kwa mambo makuu
matatu yafuatayo
Uzalendo
Uwajibikaji
Mskikamano
Basi hakika tutamuenzi kweli ,
Kijana wa kitanzania lazima ujiulize wewe utalifanyia nin taifa hili la
Tanzania
HAPA KAZI TU!!
By
Claud A. Ndikwege
Mwananchi Mzalendo
HISTORIA YA MAISHA YA
MWALIMU NYERERE *alikubali kushindwa kwa siasa za Kijamaa
*hakujilimbikizia mali Na Deogratius Temba WAKATI taifa linaadhimisha
miaka 10 ya kifo cha mwasisi wa taifa, na rais wa kwanza wa Tanzania,
kizazi kinzhitaji kujua huyo alikuwa mtu gani na aalianzia wapi. katika
makala haya, tutaangalia sehemu tu ya historia ya mwalimu, nia ni
kuitaka kumuezi na kujikumbusha kama huyu tunayemuenzi leo alikuwa mtu
gani na jinsi alivyoishi. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
alizaliwa mwaka 1922 , katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa
wa Mara. Alikuwa moja kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa
kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake;
katika umri wa miaka 12, aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi
katika shule ya msingi ya Mwisenge, iliyoko Musoma Mjini. Baada ya
kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari
Wakatoliki iliyoko Tabora. Katika umri wa miaka 20, Nyerere alibatizwa
akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake. kutokana na ujasiri
na nia ya kuwa mwelewa wa kila kitu ya Nyerere, Mapadre wa Kanisa
katoliki wakaona akili yake na nia yake nzuri ya kutaika kujifunza
wakamsaidia kusoma kozi ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Makerere,
Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945.akiwa katika Chuo cha
Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia akaamua
kujihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya
kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya sekondari
ya Mtakatifu Maria (St.Mary´s), Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda
kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti / Uingereza akasoma
Shahada ya Uzamili ya historia na uchumi, kwa hatua hiyo Mwalimu alikuwa
mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na mtanzania
wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania. Aliporejea
Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na
Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam,
(siku hizi Pugu Sekondari). Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa rais wa chama
cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia
kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika huo kikuu cha Makerere. Mwaka
1954, alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika
African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko
TAA. Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa
kinachoongoza Tanganyika. Uwezo wa mwalimu uliwashitua viongozi wa
kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya
ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na
mwanasiasa kwa bahati mbaya. aliamua kujiuzulu ualimu na kuzunguka
nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta
muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza kwa niaba ya TANU
katika Mkutano wa Baraza la udhamini (Trusteeship council) ya Umoja wa
Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu
ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu.
Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo Richard
Turnbull, ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere
aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa waziri
mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Desemba
9,1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru na mwaka
mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika.
Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika katika muungano wa Tanganyika na
Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964,
yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah. Hayati
Mwalimu Nyerere mnamo Februari 5, 1977, aliongoza chama cha TANU katika
tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama
kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa mwenyekiti wake. Nyerere
aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipong,atuka na kumwachia nafasi
rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi. Aliendelea kuongoza Chama cha
CCM hadi 1990 na kuwa na makini na mfuatiliaji huku akionya katika mambo
kadhaa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake. baada ya kustaafu kazi
ya ukuu wan chi, Nyerere alikaa muda mwingi kijijini kwake alikozaliwa
Butiama akilima shamba lake la mahindi. Pamoja na haya alianzisha
taasisi yenye jina lake inayojulikana kama “Mwalimu Nyerere Foundation,
mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya
wenyewe kwa wenyewe huko Burundi. Mwishoni mwa maisha yake Mwalimu
aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama Mwalimu alianza
kujisikia vibaya mwezi Augost mwaka 1999, akaanza kupata matibabu ya
kila mara baadaya alihamishiwa katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas huko
Uingereza. Oktoba 14, 1999 aliaga dunia katika hospitali hiyo ambapo
madaktari walisema kuwa alikuwa akisumbuliwa na kansa ya damu (
leukemia). Mafanikio na kasoro Kitendo kikubwa ambac ho hakisahahuliki
ambacho Mwalimu alikifanya na dunia inakumbuka ni kuchanganya ardhi za
Zanzibar na Tanganyika ambapo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
ulizaliwa rasmi na hadi leo upo. Kujenga umoja wa kitaifa na utamaduni
wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi,
kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Nduli Idi Amin Dada wa
Uganda. watu walimuita mwalimu kuwa ni mwanamapinduzi wa afrika,
kiongoiz wa bara nzima kutokana na nia zake za kutaka kila Mwafrika kuwa
huru na kuwa na amani. Mwalimu pia alifanikiwa kutoa mchango kwa vyama
vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika
Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji
(Frelimo) Kutofanikiwa kwake Kitu ambacho kilimuumiza mwalimu na
kumfanya akose raha mara nyingi ni juu ya kutofanikiwa kwa nia yake ysa
kuanzisha siasa za Kijamaa. Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya
mwaka 1976. Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama
kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa
ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua
kustaafu nafasi ya urais baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia
usukani kwa Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria. Katika
hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu
ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.” Alikosolewa pia
Kutokana na hali hiyo na kufikia yeye kukubali kushindwa Mwalimu Nyerere
analaumiwa kwa siasa zake za kiujamaa kuwa zilichelewesha maendeleo ya
kiuchumi wa Tanzania, Pamoja na kwamba hata leo kuna makundi ya
watanzania kwa mtazamo wao yanazitamani siasa hizo. Pia kuna makundi ya
waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya uislamu na
upendeleo wa elimu na madaraka kwa wakristo. Kutangazwa mwenye Heri Kwa
taratibu za Kanisa Katoliki, mchakato wa kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa
mtakatifu ulianza mwaka 2005, na tayari kanisa hilo kwa kibali rasmi
kutoka Roma makao ya Baba Mtakatifu, limeshamtangaza kuwa mwenyeheri.
Kuwa mwenyeheri ni hatua ya kwanza ya kuingia utakatifu. Wakristo
wakatoliki wameanzisha sala maalumu na kufanya maombi kwa nia ya
maombezi yake ili aweze kutangazwa kuwa mtakatifu. Ibada ya kwanza
ilifanyika katika kanisa kuu la Jimbo la Musoma, na kuongozwa na
aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo marehemu askofu Justine Samba. Alikuwa
mwanamichezo Licha ya Kuwa mwalimu na mwanasiasa hususani kiongozi mkuu
wan chi, pia Nyerere alikuwa mwanamichezo, aliazznisha mchezo wa Bao,
akiwa Butiama alicheza bao nyumbgani kwake na majirani zake, wakati
mwingine alipotembelewa na wafuasi wake wa kisiasa alikuwa akishiriki
nao kucheza bao. Kutokana na maisha yake aliyoyaishi ambayo yalijaa
uvumilivu, unyenyekevu na uadilifu bado anakumbukwa na watanzania hasa
wa hali ya chini hasa kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali
pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
HISTORIA YA MAISHA YA
MWALIMU NYERERE *alikubali kushindwa kwa siasa za Kijamaa
*hakujilimbikizia mali Na Deogratius Temba WAKATI taifa linaadhimisha
miaka 10 ya kifo cha mwasisi wa taifa, na rais wa kwanza wa Tanzania,
kizazi kinzhitaji kujua huyo alikuwa mtu gani na aalianzia wapi. katika
makala haya, tutaangalia sehemu tu ya historia ya mwalimu, nia ni
kuitaka kumuezi na kujikumbusha kama huyu tunayemuenzi leo alikuwa mtu
gani na jinsi alivyoishi. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
alizaliwa mwaka 1922 , katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa
wa Mara. Alikuwa moja kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa
kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake;
katika umri wa miaka 12, aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi
katika shule ya msingi ya Mwisenge, iliyoko Musoma Mjini. Baada ya
kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari
Wakatoliki iliyoko Tabora. Katika umri wa miaka 20, Nyerere alibatizwa
akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake. kutokana na ujasiri
na nia ya kuwa mwelewa wa kila kitu ya Nyerere, Mapadre wa Kanisa
katoliki wakaona akili yake na nia yake nzuri ya kutaika kujifunza
wakamsaidia kusoma kozi ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Makerere,
Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945.akiwa katika Chuo cha
Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia akaamua
kujihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya
kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya sekondari
ya Mtakatifu Maria (St.Mary´s), Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda
kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti / Uingereza akasoma
Shahada ya Uzamili ya historia na uchumi, kwa hatua hiyo Mwalimu alikuwa
mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na mtanzania
wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania. Aliporejea
Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na
Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam,
(siku hizi Pugu Sekondari). Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa rais wa chama
cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia
kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika huo kikuu cha Makerere. Mwaka
1954, alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika
African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko
TAA. Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa
kinachoongoza Tanganyika. Uwezo wa mwalimu uliwashitua viongozi wa
kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya
ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na
mwanasiasa kwa bahati mbaya. aliamua kujiuzulu ualimu na kuzunguka
nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta
muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza kwa niaba ya TANU
katika Mkutano wa Baraza la udhamini (Trusteeship council) ya Umoja wa
Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu
ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu.
Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo Richard
Turnbull, ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere
aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa waziri
mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Desemba
9,1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru na mwaka
mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika.
Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika katika muungano wa Tanganyika na
Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964,
yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah. Hayati
Mwalimu Nyerere mnamo Februari 5, 1977, aliongoza chama cha TANU katika
tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama
kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa mwenyekiti wake. Nyerere
aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipong,atuka na kumwachia nafasi
rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi. Aliendelea kuongoza Chama cha
CCM hadi 1990 na kuwa na makini na mfuatiliaji huku akionya katika mambo
kadhaa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake. baada ya kustaafu kazi
ya ukuu wan chi, Nyerere alikaa muda mwingi kijijini kwake alikozaliwa
Butiama akilima shamba lake la mahindi. Pamoja na haya alianzisha
taasisi yenye jina lake inayojulikana kama “Mwalimu Nyerere Foundation,
mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya
wenyewe kwa wenyewe huko Burundi. Mwishoni mwa maisha yake Mwalimu
aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama Mwalimu alianza
kujisikia vibaya mwezi Augost mwaka 1999, akaanza kupata matibabu ya
kila mara baadaya alihamishiwa katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas huko
Uingereza. Oktoba 14, 1999 aliaga dunia katika hospitali hiyo ambapo
madaktari walisema kuwa alikuwa akisumbuliwa na kansa ya damu (
leukemia). Mafanikio na kasoro Kitendo kikubwa ambac ho hakisahahuliki
ambacho Mwalimu alikifanya na dunia inakumbuka ni kuchanganya ardhi za
Zanzibar na Tanganyika ambapo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
ulizaliwa rasmi na hadi leo upo. Kujenga umoja wa kitaifa na utamaduni
wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi,
kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Nduli Idi Amin Dada wa
Uganda. watu walimuita mwalimu kuwa ni mwanamapinduzi wa afrika,
kiongoiz wa bara nzima kutokana na nia zake za kutaka kila Mwafrika kuwa
huru na kuwa na amani. Mwalimu pia alifanikiwa kutoa mchango kwa vyama
vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika
Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji
(Frelimo) Kutofanikiwa kwake Kitu ambacho kilimuumiza mwalimu na
kumfanya akose raha mara nyingi ni juu ya kutofanikiwa kwa nia yake ysa
kuanzisha siasa za Kijamaa. Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya
mwaka 1976. Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama
kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa
ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua
kustaafu nafasi ya urais baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia
usukani kwa Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria. Katika
hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu
ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.” Alikosolewa pia
Kutokana na hali hiyo na kufikia yeye kukubali kushindwa Mwalimu Nyerere
analaumiwa kwa siasa zake za kiujamaa kuwa zilichelewesha maendeleo ya
kiuchumi wa Tanzania, Pamoja na kwamba hata leo kuna makundi ya
watanzania kwa mtazamo wao yanazitamani siasa hizo. Pia kuna makundi ya
waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya uislamu na
upendeleo wa elimu na madaraka kwa wakristo. Kutangazwa mwenye Heri Kwa
taratibu za Kanisa Katoliki, mchakato wa kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa
mtakatifu ulianza mwaka 2005, na tayari kanisa hilo kwa kibali rasmi
kutoka Roma makao ya Baba Mtakatifu, limeshamtangaza kuwa mwenyeheri.
Kuwa mwenyeheri ni hatua ya kwanza ya kuingia utakatifu. Wakristo
wakatoliki wameanzisha sala maalumu na kufanya maombi kwa nia ya
maombezi yake ili aweze kutangazwa kuwa mtakatifu. Ibada ya kwanza
ilifanyika katika kanisa kuu la Jimbo la Musoma, na kuongozwa na
aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo marehemu askofu Justine Samba. Alikuwa
mwanamichezo Licha ya Kuwa mwalimu na mwanasiasa hususani kiongozi mkuu
wan chi, pia Nyerere alikuwa mwanamichezo, aliazznisha mchezo wa Bao,
akiwa Butiama alicheza bao nyumbgani kwake na majirani zake, wakati
mwingine alipotembelewa na wafuasi wake wa kisiasa alikuwa akishiriki
nao kucheza bao. Kutokana na maisha yake aliyoyaishi ambayo yalijaa
uvumilivu, unyenyekevu na uadilifu bado anakumbukwa na watanzania hasa
wa hali ya chini hasa kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali
pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
HISTORIA YA MAISHA YA
MWALIMU NYERERE *alikubali kushindwa kwa siasa za Kijamaa
*hakujilimbikizia mali Na Deogratius Temba WAKATI taifa linaadhimisha
miaka 10 ya kifo cha mwasisi wa taifa, na rais wa kwanza wa Tanzania,
kizazi kinzhitaji kujua huyo alikuwa mtu gani na aalianzia wapi. katika
makala haya, tutaangalia sehemu tu ya historia ya mwalimu, nia ni
kuitaka kumuezi na kujikumbusha kama huyu tunayemuenzi leo alikuwa mtu
gani na jinsi alivyoishi. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
alizaliwa mwaka 1922 , katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa
wa Mara. Alikuwa moja kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa
kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake;
katika umri wa miaka 12, aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi
katika shule ya msingi ya Mwisenge, iliyoko Musoma Mjini. Baada ya
kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari
Wakatoliki iliyoko Tabora. Katika umri wa miaka 20, Nyerere alibatizwa
akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake. kutokana na ujasiri
na nia ya kuwa mwelewa wa kila kitu ya Nyerere, Mapadre wa Kanisa
katoliki wakaona akili yake na nia yake nzuri ya kutaika kujifunza
wakamsaidia kusoma kozi ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Makerere,
Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945.akiwa katika Chuo cha
Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia akaamua
kujihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya
kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya sekondari
ya Mtakatifu Maria (St.Mary´s), Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda
kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti / Uingereza akasoma
Shahada ya Uzamili ya historia na uchumi, kwa hatua hiyo Mwalimu alikuwa
mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na mtanzania
wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania. Aliporejea
Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na
Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam,
(siku hizi Pugu Sekondari). Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa rais wa chama
cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia
kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika huo kikuu cha Makerere. Mwaka
1954, alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika
African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko
TAA. Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa
kinachoongoza Tanganyika. Uwezo wa mwalimu uliwashitua viongozi wa
kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya
ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na
mwanasiasa kwa bahati mbaya. aliamua kujiuzulu ualimu na kuzunguka
nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta
muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza kwa niaba ya TANU
katika Mkutano wa Baraza la udhamini (Trusteeship council) ya Umoja wa
Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu
ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu.
Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo Richard
Turnbull, ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere
aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa waziri
mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Desemba
9,1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru na mwaka
mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika.
Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika katika muungano wa Tanganyika na
Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964,
yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah. Hayati
Mwalimu Nyerere mnamo Februari 5, 1977, aliongoza chama cha TANU katika
tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama
kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa mwenyekiti wake. Nyerere
aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipong,atuka na kumwachia nafasi
rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi. Aliendelea kuongoza Chama cha
CCM hadi 1990 na kuwa na makini na mfuatiliaji huku akionya katika mambo
kadhaa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake. baada ya kustaafu kazi
ya ukuu wan chi, Nyerere alikaa muda mwingi kijijini kwake alikozaliwa
Butiama akilima shamba lake la mahindi. Pamoja na haya alianzisha
taasisi yenye jina lake inayojulikana kama “Mwalimu Nyerere Foundation,
mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya
wenyewe kwa wenyewe huko Burundi. Mwishoni mwa maisha yake Mwalimu
aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama Mwalimu alianza
kujisikia vibaya mwezi Augost mwaka 1999, akaanza kupata matibabu ya
kila mara baadaya alihamishiwa katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas huko
Uingereza. Oktoba 14, 1999 aliaga dunia katika hospitali hiyo ambapo
madaktari walisema kuwa alikuwa akisumbuliwa na kansa ya damu (
leukemia). Mafanikio na kasoro Kitendo kikubwa ambac ho hakisahahuliki
ambacho Mwalimu alikifanya na dunia inakumbuka ni kuchanganya ardhi za
Zanzibar na Tanganyika ambapo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
ulizaliwa rasmi na hadi leo upo. Kujenga umoja wa kitaifa na utamaduni
wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi,
kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Nduli Idi Amin Dada wa
Uganda. watu walimuita mwalimu kuwa ni mwanamapinduzi wa afrika,
kiongoiz wa bara nzima kutokana na nia zake za kutaka kila Mwafrika kuwa
huru na kuwa na amani. Mwalimu pia alifanikiwa kutoa mchango kwa vyama
vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika
Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji
(Frelimo) Kutofanikiwa kwake Kitu ambacho kilimuumiza mwalimu na
kumfanya akose raha mara nyingi ni juu ya kutofanikiwa kwa nia yake ysa
kuanzisha siasa za Kijamaa. Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya
mwaka 1976. Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama
kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa
ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua
kustaafu nafasi ya urais baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia
usukani kwa Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria. Katika
hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu
ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.” Alikosolewa pia
Kutokana na hali hiyo na kufikia yeye kukubali kushindwa Mwalimu Nyerere
analaumiwa kwa siasa zake za kiujamaa kuwa zilichelewesha maendeleo ya
kiuchumi wa Tanzania, Pamoja na kwamba hata leo kuna makundi ya
watanzania kwa mtazamo wao yanazitamani siasa hizo. Pia kuna makundi ya
waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya uislamu na
upendeleo wa elimu na madaraka kwa wakristo. Kutangazwa mwenye Heri Kwa
taratibu za Kanisa Katoliki, mchakato wa kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa
mtakatifu ulianza mwaka 2005, na tayari kanisa hilo kwa kibali rasmi
kutoka Roma makao ya Baba Mtakatifu, limeshamtangaza kuwa mwenyeheri.
Kuwa mwenyeheri ni hatua ya kwanza ya kuingia utakatifu. Wakristo
wakatoliki wameanzisha sala maalumu na kufanya maombi kwa nia ya
maombezi yake ili aweze kutangazwa kuwa mtakatifu. Ibada ya kwanza
ilifanyika katika kanisa kuu la Jimbo la Musoma, na kuongozwa na
aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo marehemu askofu Justine Samba. Alikuwa
mwanamichezo Licha ya Kuwa mwalimu na mwanasiasa hususani kiongozi mkuu
wan chi, pia Nyerere alikuwa mwanamichezo, aliazznisha mchezo wa Bao,
akiwa Butiama alicheza bao nyumbgani kwake na majirani zake, wakati
mwingine alipotembelewa na wafuasi wake wa kisiasa alikuwa akishiriki
nao kucheza bao. Kutokana na maisha yake aliyoyaishi ambayo yalijaa
uvumilivu, unyenyekevu na uadilifu bado anakumbukwa na watanzania hasa
wa hali ya chini hasa kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali
pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
HISTORIA YA MAISHA YA
MWALIMU NYERERE *alikubali kushindwa kwa siasa za Kijamaa
*hakujilimbikizia mali Na Deogratius Temba WAKATI taifa linaadhimisha
miaka 10 ya kifo cha mwasisi wa taifa, na rais wa kwanza wa Tanzania,
kizazi kinzhitaji kujua huyo alikuwa mtu gani na aalianzia wapi. katika
makala haya, tutaangalia sehemu tu ya historia ya mwalimu, nia ni
kuitaka kumuezi na kujikumbusha kama huyu tunayemuenzi leo alikuwa mtu
gani na jinsi alivyoishi. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
alizaliwa mwaka 1922 , katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa
wa Mara. Alikuwa moja kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa
kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake;
katika umri wa miaka 12, aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi
katika shule ya msingi ya Mwisenge, iliyoko Musoma Mjini. Baada ya
kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari
Wakatoliki iliyoko Tabora. Katika umri wa miaka 20, Nyerere alibatizwa
akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake. kutokana na ujasiri
na nia ya kuwa mwelewa wa kila kitu ya Nyerere, Mapadre wa Kanisa
katoliki wakaona akili yake na nia yake nzuri ya kutaika kujifunza
wakamsaidia kusoma kozi ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Makerere,
Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945.akiwa katika Chuo cha
Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia akaamua
kujihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya
kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya sekondari
ya Mtakatifu Maria (St.Mary´s), Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda
kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti / Uingereza akasoma
Shahada ya Uzamili ya historia na uchumi, kwa hatua hiyo Mwalimu alikuwa
mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na mtanzania
wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania. Aliporejea
Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na
Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam,
(siku hizi Pugu Sekondari). Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa rais wa chama
cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia
kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika huo kikuu cha Makerere. Mwaka
1954, alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika
African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko
TAA. Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa
kinachoongoza Tanganyika. Uwezo wa mwalimu uliwashitua viongozi wa
kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya
ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na
mwanasiasa kwa bahati mbaya. aliamua kujiuzulu ualimu na kuzunguka
nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta
muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza kwa niaba ya TANU
katika Mkutano wa Baraza la udhamini (Trusteeship council) ya Umoja wa
Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu
ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu.
Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo Richard
Turnbull, ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere
aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa waziri
mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Desemba
9,1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru na mwaka
mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika.
Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika katika muungano wa Tanganyika na
Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964,
yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah. Hayati
Mwalimu Nyerere mnamo Februari 5, 1977, aliongoza chama cha TANU katika
tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama
kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa mwenyekiti wake. Nyerere
aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipong,atuka na kumwachia nafasi
rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi. Aliendelea kuongoza Chama cha
CCM hadi 1990 na kuwa na makini na mfuatiliaji huku akionya katika mambo
kadhaa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake. baada ya kustaafu kazi
ya ukuu wan chi, Nyerere alikaa muda mwingi kijijini kwake alikozaliwa
Butiama akilima shamba lake la mahindi. Pamoja na haya alianzisha
taasisi yenye jina lake inayojulikana kama “Mwalimu Nyerere Foundation,
mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya
wenyewe kwa wenyewe huko Burundi. Mwishoni mwa maisha yake Mwalimu
aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama Mwalimu alianza
kujisikia vibaya mwezi Augost mwaka 1999, akaanza kupata matibabu ya
kila mara baadaya alihamishiwa katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas huko
Uingereza. Oktoba 14, 1999 aliaga dunia katika hospitali hiyo ambapo
madaktari walisema kuwa alikuwa akisumbuliwa na kansa ya damu (
leukemia). Mafanikio na kasoro Kitendo kikubwa ambac ho hakisahahuliki
ambacho Mwalimu alikifanya na dunia inakumbuka ni kuchanganya ardhi za
Zanzibar na Tanganyika ambapo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
ulizaliwa rasmi na hadi leo upo. Kujenga umoja wa kitaifa na utamaduni
wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi,
kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Nduli Idi Amin Dada wa
Uganda. watu walimuita mwalimu kuwa ni mwanamapinduzi wa afrika,
kiongoiz wa bara nzima kutokana na nia zake za kutaka kila Mwafrika kuwa
huru na kuwa na amani. Mwalimu pia alifanikiwa kutoa mchango kwa vyama
vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika
Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji
(Frelimo) Kutofanikiwa kwake Kitu ambacho kilimuumiza mwalimu na
kumfanya akose raha mara nyingi ni juu ya kutofanikiwa kwa nia yake ysa
kuanzisha siasa za Kijamaa. Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya
mwaka 1976. Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama
kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa
ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua
kustaafu nafasi ya urais baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia
usukani kwa Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria. Katika
hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu
ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.” Alikosolewa pia
Kutokana na hali hiyo na kufikia yeye kukubali kushindwa Mwalimu Nyerere
analaumiwa kwa siasa zake za kiujamaa kuwa zilichelewesha maendeleo ya
kiuchumi wa Tanzania, Pamoja na kwamba hata leo kuna makundi ya
watanzania kwa mtazamo wao yanazitamani siasa hizo. Pia kuna makundi ya
waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya uislamu na
upendeleo wa elimu na madaraka kwa wakristo. Kutangazwa mwenye Heri Kwa
taratibu za Kanisa Katoliki, mchakato wa kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa
mtakatifu ulianza mwaka 2005, na tayari kanisa hilo kwa kibali rasmi
kutoka Roma makao ya Baba Mtakatifu, limeshamtangaza kuwa mwenyeheri.
Kuwa mwenyeheri ni hatua ya kwanza ya kuingia utakatifu. Wakristo
wakatoliki wameanzisha sala maalumu na kufanya maombi kwa nia ya
maombezi yake ili aweze kutangazwa kuwa mtakatifu. Ibada ya kwanza
ilifanyika katika kanisa kuu la Jimbo la Musoma, na kuongozwa na
aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo marehemu askofu Justine Samba. Alikuwa
mwanamichezo Licha ya Kuwa mwalimu na mwanasiasa hususani kiongozi mkuu
wan chi, pia Nyerere alikuwa mwanamichezo, aliazznisha mchezo wa Bao,
akiwa Butiama alicheza bao nyumbgani kwake na majirani zake, wakati
mwingine alipotembelewa na wafuasi wake wa kisiasa alikuwa akishiriki
nao kucheza bao. Kutokana na maisha yake aliyoyaishi ambayo yalijaa
uvumilivu, unyenyekevu na uadilifu bado anakumbukwa na watanzania hasa
wa hali ya chini hasa kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali
pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
HISTORIA YA MAISHA YA
MWALIMU NYERERE *alikubali kushindwa kwa siasa za Kijamaa
*hakujilimbikizia mali Na Deogratius Temba WAKATI taifa linaadhimisha
miaka 10 ya kifo cha mwasisi wa taifa, na rais wa kwanza wa Tanzania,
kizazi kinzhitaji kujua huyo alikuwa mtu gani na aalianzia wapi. katika
makala haya, tutaangalia sehemu tu ya historia ya mwalimu, nia ni
kuitaka kumuezi na kujikumbusha kama huyu tunayemuenzi leo alikuwa mtu
gani na jinsi alivyoishi. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
alizaliwa mwaka 1922 , katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa
wa Mara. Alikuwa moja kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa
kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake;
katika umri wa miaka 12, aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi
katika shule ya msingi ya Mwisenge, iliyoko Musoma Mjini. Baada ya
kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari
Wakatoliki iliyoko Tabora. Katika umri wa miaka 20, Nyerere alibatizwa
akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake. kutokana na ujasiri
na nia ya kuwa mwelewa wa kila kitu ya Nyerere, Mapadre wa Kanisa
katoliki wakaona akili yake na nia yake nzuri ya kutaika kujifunza
wakamsaidia kusoma kozi ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Makerere,
Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945.akiwa katika Chuo cha
Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia akaamua
kujihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya
kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya sekondari
ya Mtakatifu Maria (St.Mary´s), Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda
kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti / Uingereza akasoma
Shahada ya Uzamili ya historia na uchumi, kwa hatua hiyo Mwalimu alikuwa
mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na mtanzania
wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania. Aliporejea
Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na
Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam,
(siku hizi Pugu Sekondari). Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa rais wa chama
cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia
kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika huo kikuu cha Makerere. Mwaka
1954, alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika
African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko
TAA. Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa
kinachoongoza Tanganyika. Uwezo wa mwalimu uliwashitua viongozi wa
kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya
ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na
mwanasiasa kwa bahati mbaya. aliamua kujiuzulu ualimu na kuzunguka
nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta
muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza kwa niaba ya TANU
katika Mkutano wa Baraza la udhamini (Trusteeship council) ya Umoja wa
Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu
ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu.
Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo Richard
Turnbull, ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere
aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa waziri
mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Desemba
9,1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru na mwaka
mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika.
Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika katika muungano wa Tanganyika na
Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964,
yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah. Hayati
Mwalimu Nyerere mnamo Februari 5, 1977, aliongoza chama cha TANU katika
tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama
kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa mwenyekiti wake. Nyerere
aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipong,atuka na kumwachia nafasi
rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi. Aliendelea kuongoza Chama cha
CCM hadi 1990 na kuwa na makini na mfuatiliaji huku akionya katika mambo
kadhaa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake. baada ya kustaafu kazi
ya ukuu wan chi, Nyerere alikaa muda mwingi kijijini kwake alikozaliwa
Butiama akilima shamba lake la mahindi. Pamoja na haya alianzisha
taasisi yenye jina lake inayojulikana kama “Mwalimu Nyerere Foundation,
mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya
wenyewe kwa wenyewe huko Burundi. Mwishoni mwa maisha yake Mwalimu
aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama Mwalimu alianza
kujisikia vibaya mwezi Augost mwaka 1999, akaanza kupata matibabu ya
kila mara baadaya alihamishiwa katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas huko
Uingereza. Oktoba 14, 1999 aliaga dunia katika hospitali hiyo ambapo
madaktari walisema kuwa alikuwa akisumbuliwa na kansa ya damu (
leukemia). Mafanikio na kasoro Kitendo kikubwa ambac ho hakisahahuliki
ambacho Mwalimu alikifanya na dunia inakumbuka ni kuchanganya ardhi za
Zanzibar na Tanganyika ambapo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
ulizaliwa rasmi na hadi leo upo. Kujenga umoja wa kitaifa na utamaduni
wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi,
kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Nduli Idi Amin Dada wa
Uganda. watu walimuita mwalimu kuwa ni mwanamapinduzi wa afrika,
kiongoiz wa bara nzima kutokana na nia zake za kutaka kila Mwafrika kuwa
huru na kuwa na amani. Mwalimu pia alifanikiwa kutoa mchango kwa vyama
vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika
Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji
(Frelimo) Kutofanikiwa kwake Kitu ambacho kilimuumiza mwalimu na
kumfanya akose raha mara nyingi ni juu ya kutofanikiwa kwa nia yake ysa
kuanzisha siasa za Kijamaa. Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya
mwaka 1976. Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama
kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa
ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua
kustaafu nafasi ya urais baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia
usukani kwa Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria. Katika
hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu
ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.” Alikosolewa pia
Kutokana na hali hiyo na kufikia yeye kukubali kushindwa Mwalimu Nyerere
analaumiwa kwa siasa zake za kiujamaa kuwa zilichelewesha maendeleo ya
kiuchumi wa Tanzania, Pamoja na kwamba hata leo kuna makundi ya
watanzania kwa mtazamo wao yanazitamani siasa hizo. Pia kuna makundi ya
waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya uislamu na
upendeleo wa elimu na madaraka kwa wakristo. Kutangazwa mwenye Heri Kwa
taratibu za Kanisa Katoliki, mchakato wa kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa
mtakatifu ulianza mwaka 2005, na tayari kanisa hilo kwa kibali rasmi
kutoka Roma makao ya Baba Mtakatifu, limeshamtangaza kuwa mwenyeheri.
Kuwa mwenyeheri ni hatua ya kwanza ya kuingia utakatifu. Wakristo
wakatoliki wameanzisha sala maalumu na kufanya maombi kwa nia ya
maombezi yake ili aweze kutangazwa kuwa mtakatifu. Ibada ya kwanza
ilifanyika katika kanisa kuu la Jimbo la Musoma, na kuongozwa na
aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo marehemu askofu Justine Samba. Alikuwa
mwanamichezo Licha ya Kuwa mwalimu na mwanasiasa hususani kiongozi mkuu
wan chi, pia Nyerere alikuwa mwanamichezo, aliazznisha mchezo wa Bao,
akiwa Butiama alicheza bao nyumbgani kwake na majirani zake, wakati
mwingine alipotembelewa na wafuasi wake wa kisiasa alikuwa akishiriki
nao kucheza bao. Kutokana na maisha yake aliyoyaishi ambayo yalijaa
uvumilivu, unyenyekevu na uadilifu bado anakumbukwa na watanzania hasa
wa hali ya chini hasa kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali
pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
HISTORIA YA MAISHA YA
MWALIMU NYERERE *alikubali kushindwa kwa siasa za Kijamaa
*hakujilimbikizia mali Na Deogratius Temba WAKATI taifa linaadhimisha
miaka 10 ya kifo cha mwasisi wa taifa, na rais wa kwanza wa Tanzania,
kizazi kinzhitaji kujua huyo alikuwa mtu gani na aalianzia wapi. katika
makala haya, tutaangalia sehemu tu ya historia ya mwalimu, nia ni
kuitaka kumuezi na kujikumbusha kama huyu tunayemuenzi leo alikuwa mtu
gani na jinsi alivyoishi. Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
alizaliwa mwaka 1922 , katika kijiji cha Butiama, wilaya ya Musoma, mkoa
wa Mara. Alikuwa moja kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa
kabila la Wazanaki. Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya babake;
katika umri wa miaka 12, aliingia shule akitembea kilomita 30 hadi
katika shule ya msingi ya Mwisenge, iliyoko Musoma Mjini. Baada ya
kumaliza shule ya msingi aliendelea kusoma shule ya wamisionari
Wakatoliki iliyoko Tabora. Katika umri wa miaka 20, Nyerere alibatizwa
akawa mkristo Mkatoliki hadi mwisho wa maisha yake. kutokana na ujasiri
na nia ya kuwa mwelewa wa kila kitu ya Nyerere, Mapadre wa Kanisa
katoliki wakaona akili yake na nia yake nzuri ya kutaika kujifunza
wakamsaidia kusoma kozi ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Makerere,
Kampala, Uganda kuanzia mwaka 1943 hadi 1945.akiwa katika Chuo cha
Makerere akaanzisha tawi la Umoja wa wanafunzi Watanganyika pia akaamua
kujihusisha na tawi la Tanganyika African Association (TAA). Baada ya
kumaliza masomo ya ualimu alirudi Tabora akifundisha shule ya sekondari
ya Mtakatifu Maria (St.Mary´s), Mwaka 1949 alipata skolashipu ya kwenda
kusoma kwenye Chuo Kikuu cha Edinburgh huko Uskoti / Uingereza akasoma
Shahada ya Uzamili ya historia na uchumi, kwa hatua hiyo Mwalimu alikuwa
mtanzania wa kwanza kusoma katika chuo kikuu cha Uingereza na mtanzania
wa pili kupata shahada ya elimu ya juu nje ya Tanzania. Aliporejea
Tanganyika kutoka masomoni, Nyerere alifundisha Historia, Kingereza na
Kiswahili katika shule ya St. Francis iliyo karibu na Dar es Salaam,
(siku hizi Pugu Sekondari). Mwaka 1953 alichaguliwa kuwa rais wa chama
cha Tanganyika African Association (TAA), chama ambacho alikisaidia
kukijenga alipokuwa mwanafunzi katika huo kikuu cha Makerere. Mwaka
1954, alikibadilisha chama cha TAA kwenda katika chama cha Tanganyika
African National Union (TANU) ambacho kilikuwa cha kisiasa zaidi kuliko
TAA. Ndani ya mwaka mmoja chama cha TANU kilikuwa tayari chama cha siasa
kinachoongoza Tanganyika. Uwezo wa mwalimu uliwashitua viongozi wa
kikoloni na kumlazimisha Nyerere kuchagua kati ya siasa na kazi ya
ualimu. Nyerere alisikika akisema kuwa alikuwa mwalimu kwa kuchagua na
mwanasiasa kwa bahati mbaya. aliamua kujiuzulu ualimu na kuzunguka
nchini Tanganyika kuzungumza na watu wa kawaida na machifu ili kuleta
muungano katika mapigano ya uhuru. Pia alizungumza kwa niaba ya TANU
katika Mkutano wa Baraza la udhamini (Trusteeship council) ya Umoja wa
Mataifa (UN) huko New York. Uwezo wake wa kimaongezi na kuunganisha watu
ulimwezesha kufanikisha Tanganyika kupata uhuru bila umwagaji wa damu.
Ushirikiano mzuri aliouonyesha aliyekuwa gavana wa wakati huo Richard
Turnbull, ulisaidia pia kuharakisha upatikanaji wa uhuru. Nyerere
aliingia katika bunge la kikoloni mwaka 1958 na kuchaguliwa kuwa waziri
mkuu mwaka 1960. Mwaka 1961 Tanganyika ilipata uhuru wake na Desemba
9,1961 Nyerere alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Tanganyika huru na mwaka
mmoja baadae Nyerere alikuwa raisi wa kwanza wa jamhuri ya Tanganyika.
Nyerere alikuwa kiungo muhimu katika katika muungano wa Tanganyika na
Zanzibar kutengeneza Tanzania baada ya mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964,
yaliyomtoa madarakani sultani wa Zanzibar Jamshid bin Abdullah. Hayati
Mwalimu Nyerere mnamo Februari 5, 1977, aliongoza chama cha TANU katika
tendo la kuungana na chama tawala cha Zanzibar ASP na kuanzisha chama
kipya cha CCM (Chama cha Mapinduzi) akiwa mwenyekiti wake. Nyerere
aliendelea kuongoza Taifa hadi 1985 alipong,atuka na kumwachia nafasi
rais wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi. Aliendelea kuongoza Chama cha
CCM hadi 1990 na kuwa na makini na mfuatiliaji huku akionya katika mambo
kadhaa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake. baada ya kustaafu kazi
ya ukuu wan chi, Nyerere alikaa muda mwingi kijijini kwake alikozaliwa
Butiama akilima shamba lake la mahindi. Pamoja na haya alianzisha
taasisi yenye jina lake inayojulikana kama “Mwalimu Nyerere Foundation,
mwaka 1996 alionekana akiwa mpatanishi wa pande mbalimbali wa vita vya
wenyewe kwa wenyewe huko Burundi. Mwishoni mwa maisha yake Mwalimu
aliishi kama mkulima wa kawaida kijijini kwake Butiama Mwalimu alianza
kujisikia vibaya mwezi Augost mwaka 1999, akaanza kupata matibabu ya
kila mara baadaya alihamishiwa katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas huko
Uingereza. Oktoba 14, 1999 aliaga dunia katika hospitali hiyo ambapo
madaktari walisema kuwa alikuwa akisumbuliwa na kansa ya damu (
leukemia). Mafanikio na kasoro Kitendo kikubwa ambac ho hakisahahuliki
ambacho Mwalimu alikifanya na dunia inakumbuka ni kuchanganya ardhi za
Zanzibar na Tanganyika ambapo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
ulizaliwa rasmi na hadi leo upo. Kujenga umoja wa kitaifa na utamaduni
wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi,
kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Nduli Idi Amin Dada wa
Uganda. watu walimuita mwalimu kuwa ni mwanamapinduzi wa afrika,
kiongoiz wa bara nzima kutokana na nia zake za kutaka kila Mwafrika kuwa
huru na kuwa na amani. Mwalimu pia alifanikiwa kutoa mchango kwa vyama
vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika
Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji
(Frelimo) Kutofanikiwa kwake Kitu ambacho kilimuumiza mwalimu na
kumfanya akose raha mara nyingi ni juu ya kutofanikiwa kwa nia yake ysa
kuanzisha siasa za Kijamaa. Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya
mwaka 1976. Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama
kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa
ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua
kustaafu nafasi ya urais baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia
usukani kwa Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria. Katika
hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu
ya siasa yake kiuchumi “Nimefeli. Tukubali hivyo.” Alikosolewa pia
Kutokana na hali hiyo na kufikia yeye kukubali kushindwa Mwalimu Nyerere
analaumiwa kwa siasa zake za kiujamaa kuwa zilichelewesha maendeleo ya
kiuchumi wa Tanzania, Pamoja na kwamba hata leo kuna makundi ya
watanzania kwa mtazamo wao yanazitamani siasa hizo. Pia kuna makundi ya
waislamu wanaomtuhumu kwa kuendesha kwa siri vita dhidi ya uislamu na
upendeleo wa elimu na madaraka kwa wakristo. Kutangazwa mwenye Heri Kwa
taratibu za Kanisa Katoliki, mchakato wa kumtangaza Mwalimu Nyerere kuwa
mtakatifu ulianza mwaka 2005, na tayari kanisa hilo kwa kibali rasmi
kutoka Roma makao ya Baba Mtakatifu, limeshamtangaza kuwa mwenyeheri.
Kuwa mwenyeheri ni hatua ya kwanza ya kuingia utakatifu. Wakristo
wakatoliki wameanzisha sala maalumu na kufanya maombi kwa nia ya
maombezi yake ili aweze kutangazwa kuwa mtakatifu. Ibada ya kwanza
ilifanyika katika kanisa kuu la Jimbo la Musoma, na kuongozwa na
aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo marehemu askofu Justine Samba. Alikuwa
mwanamichezo Licha ya Kuwa mwalimu na mwanasiasa hususani kiongozi mkuu
wan chi, pia Nyerere alikuwa mwanamichezo, aliazznisha mchezo wa Bao,
akiwa Butiama alicheza bao nyumbgani kwake na majirani zake, wakati
mwingine alipotembelewa na wafuasi wake wa kisiasa alikuwa akishiriki
nao kucheza bao. Kutokana na maisha yake aliyoyaishi ambayo yalijaa
uvumilivu, unyenyekevu na uadilifu bado anakumbukwa na watanzania hasa
wa hali ya chini hasa kutokana na sera zake za kujali utu na ubinadamu.
Ni mmoja wa viongozi wachache wanaokumbukwa kwa kutojilimbikizia mali
pamoja na kutawala kwa miaka zaidi ya 24
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
Today Deal $50 Off : https://goo.gl/efW8Ef
0 comments:
Post a Comment