WIZARA YA ELIMU COBESO DAR 2016/2017

on Saturday, October 1, 2016
 KARIBU


Karibu kwenye blog ya  wizara ya elimu katika chuo cha Elimu ya biashara CBE kampasi ya Dar es Salaam

Blog hii itakujuza habari kem kem kuhusiana na Chuo Bora kabisa Nchini na Afrika Mashariki kwa kutoa Elimu ya Biashara yenye Tija na Viwango  vya Kimataifa vinayomuwezesha  mwanafunzi kujiajili au kuajiliwa kwenye soko la Ajira

Ungana Nasi,

Ahsante.

Claud A. Ndikwege
Waziri wa Elimu
COBESO Dar

0 comments:

Post a Comment