SEMINA SEMINA

on Wednesday, November 30, 2016
MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI 


Tunapenda kukukaribisha kwenye semina siku ya ukimwi duniani itakayo fanyika 


Alhamisi tarehe 1/12/2016
Kuanzia saa  8 Mchana -  saa 10 Jioni
Mahali  LMH ,


kutakuwa na debate itakayo husiana na maswala ya vijana ,

wote mnakaribishwa
Asante



kutoka kwa
Paul Kalunga
Waziri wa Afya 

0 comments:

Post a Comment