on Thursday, June 5, 2025


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS

                          TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA TANDAHIMBA

(Barua zote zitumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji)

 

Kumb. Na. JB.124/294/01B/98                                                            05 Juni, 2025

 

 

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba amepata Kibali cha Ajira Mpya chenye kumb. Na. FA. 97/288/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili, 2025 chenye nafasi ya Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II (2) na Dereva Daraja la II (8) kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hivyo Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Tandahimba anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kuomba maombi ya nafasi za kazi zifuatazo:

,

1.0         MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II - NAFASI 2

1.1         KAZI/ MAJUKUMU YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI

i.        Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri

 

ii.        Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;

 

iii.        Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine

iv.        Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi

v.         Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika

vi.        Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika

 

vii.        Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali

 

viii.        Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi.


1.2         SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 100 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

1.3         MSHAHARA

Ngazi ya Mshahara ni TGS C1.

2.0         DEREVA DARAJA LA II - NAFASI 8

2.1         KAZI/ MAJUKUMU YA DEREVA

i.        Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;

ii.        Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;

iii.        Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;

iv.        Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;

v.         Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;

vi.        Kufanya usafi wa gari; na

vii.        Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

viii.        Pamoja na kazi zingine utakazopangiwa na Mwajiri wako.

2.2         SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

2.3         MSHAHARA

Ngazi ya Mshahara ni TGS B1.


MSHAHARA YA JUMLA

 

i.                    Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka18 na usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini;

ii.                  Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye Mfumo wa kuombea ajira ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi waUmma

iii.                Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (DetailCurriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika.

iv.                Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detail C.V) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika;

v.                  Maombi yote yaambatane na vyeti vya Elimu na Taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne au Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates, - Cheti cha mtihani wa Kidato cha IV na VI,

- Computer Certificate, - Vyeti vya Kitaaluma (Professional Certificate from Respective Boards);

vi.                “Testmonial“, ‘‘Provisional Results“, “Statement of results“, hati ya matokeo ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.

vii.              Waombaji waliosoma nje ya Nchi wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na vimethibitishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).

viii.            Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

ix.                Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

x.                  Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.


xi.                Waombaji kazi wa kada ya Dereva II wenye leseni Daraja E au C wanapaswa KUAMBATISHA vyeti vya mafunzo ya Udereva vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika.

xii.              Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 18/6/2025

xiii.            MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

Mkurugenzi Mtendaji,

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba,

S.L.P 03,

TANDAHIMBA - MTWARA.

 

xiv.            Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa 'Recruitment Portal').

xv.              Maombi yatakayowasiIishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili HAYATAFIKIRIWA.

 

Imetolewa na:

MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA TANDAHIMBA



Source :https://www.ajira.go.tz/



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

 

     HALMASHAURI YA WILAYA MTWARA

(Barua zote zitumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji)

 

Kumb. Na. AC.253/525/01/147                                                             31 Mei,2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara imepata idhini ya utekelezaji wa Kibali cha Ajira Mpya chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha Tarehe 29 Aprili, 2025 kwa ajili ya kuajiri Mwandishi Mwendesha Ofisi II nafasi 2 na Dereva II nafasi 2 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Hivyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtwara anawatangazia watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri hiyo, kuomba nafasi za kazi zifuatazo:

1.0         MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II - NAFASI 2

1.1         KAZI/ MAJUKUMU YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI

i.        Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri

ii.        Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa; 

iii.        Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine

iv.        Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi

v.         Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika

vi.        Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika

vii.        Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali

viii.        Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi.



1.2         SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maneno 100 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

1.3         MSHAHARA

Ngazi ya Mshahara ni TGS C1.

2.0         DEREVA DARAJA LA II - NAFASI 2

2.1         KAZI/ MAJUKUMU YA DEREVA

i.        Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;

ii.        Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;

iii.        Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;

iv.        Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;

v.         Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;

vi.        Kufanya usafi wa gari; na

vii.        Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

viii.        Pamoja na kazi zingine utakazopangiwa na Mwajiri wako.

 

 

2.2         SIFA ZA MWOMBAJI

2.3         Kuajiriwa wenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

2.4         MSHAHARA

Ngazi ya Mshahara ni TGS B1

 

 

MASHARTI YA JUMLA


i.              Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka18 na usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini;

ii.            Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye Mfumo wa kuombea ajira ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi waUmma

iii.           Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (DetailCurriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika.

iv.           Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika;

v.            Maombi yote yaambatane na vyeti vya Elimu na Taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne au Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Diploma/Certificates, - Cheti cha mtihani wa Kidato cha IV na VI, - Computer Certificate, - Vyeti vya Kitaaluma (Professional Certificate from Respective Boards);

vi.           “Testmonial“, ‘‘Provisional Results“, “Statement of results“, hati ya matokeo ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.

vii.         Waombaji waliosoma nje ya Nchi wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na vimethibitishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).

viii.        Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi.

ix.           Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

x.            Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

xi.           Waombaji kazi wa kada ya Dereva II wenye leseni Daraja E au C wanapaswa KUAMBATISHA vyeti vya mafunzo ya Udereva vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika


xii.         Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 17 Juni, 2025

xiii.        MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya Mtwara,

S.L.P. 528,

MTWARA.

xiv.        Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa 'Recruitment Portal').

xv.         Maombi yatakayowasiIishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo hili

HAYATAFIKIRIWA.

 

Imetolewa na:

 

Abeid A. Kafunda

MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA MTWARA





Source :https://www.ajira.go.tz/